Hesabu 4:12 BHN

12 Watavichukua vyombo vyote vinavyotumika mahali patakatifu, watavifunga kwa kitambaa cha buluu na kuvifunika kwa ngozi laini ya mbuzi, kisha wataviweka juu ya mipiko yake ya kuchukulia.

Kusoma sura kamili Hesabu 4

Mtazamo Hesabu 4:12 katika mazingira