Hesabu 7:89 BHN

89 Wakati Mose alipoingia ndani ya hema la mkutano ili kuongea na Mwenyezi-Mungu, alisikia sauti kutoka upande wa juu wa kiti cha rehema, kilichokuwa juu ya sanduku la agano, kutoka kati ya wale viumbe wawili wenye mabawa.

Kusoma sura kamili Hesabu 7

Mtazamo Hesabu 7:89 katika mazingira