Hosea 10:5 BHN

5 Wakazi wa Samaria watatetemekakwa sababu ya ndama wa huko Betheli.Watu wake watamwombolezea ndama huyo,hata makuhani wanaomwabudu watamlilia;kwani fahari ya ndama huyo imeondolewa.

Kusoma sura kamili Hosea 10

Mtazamo Hosea 10:5 katika mazingira