Hosea 4:10 BHN

10 Watakula, lakini hawatashiba;watazini, lakini hawatapata watoto,kwa sababu wameniacha mimi Mwenyezi-Mungu,na kufuata miungu mingine.

Kusoma sura kamili Hosea 4

Mtazamo Hosea 4:10 katika mazingira