Kutoka 12:19 BHN

19 Katika siku hizo saba, msiwe na chachu yoyote katika nyumba zenu. Mtu yeyote, awe mgeni au mwenyeji, akila kitu kilichotiwa chachu, ataondolewa miongoni mwa jumuiya ya Waisraeli.

Kusoma sura kamili Kutoka 12

Mtazamo Kutoka 12:19 katika mazingira