Kutoka 15:1 BHN

1 Hapo, Mose pamoja na Waisraeli wakamwimbia Mwenyezi-Mungu wimbo huu,“Nitamwimbia Mwenyezi-Mungu kwani ameshinda kwa fahari,farasi na mpandafarasi wake amewatosa baharini.

Kusoma sura kamili Kutoka 15

Mtazamo Kutoka 15:1 katika mazingira