Kutoka 22:6 BHN

6 “Mtu akiwasha moto nao ukachoma miti ya miiba na kusambaa hadi kuteketeza miganda ya nafaka, au nafaka ya mtu mwingine ambayo bado haijavunwa, au shamba lote likateketea, aliyewasha moto huo lazima alipe hasara hiyo yote.

Kusoma sura kamili Kutoka 22

Mtazamo Kutoka 22:6 katika mazingira