Kutoka 8:19 BHN

19 Wale wachawi wakamwambia Farao, “Hii ni kazi ya mkono wa Mungu.” Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mgumu; wala hakuwasikiliza Mose na Aroni. Ikawa kama Mwenyezi-Mungu alivyokuwa amesema.

Kusoma sura kamili Kutoka 8

Mtazamo Kutoka 8:19 katika mazingira