Mwanzo 16:2 BHN

2 Basi, Sarai akamwambia Abramu, “Unajua kuwa Mwenyezi-Mungu hajanijalia kupata watoto. Mchukue Hagari mjakazi wangu; huenda nikapata watoto kwake.” Abramu akakubali shauri la Sarai.

Kusoma sura kamili Mwanzo 16

Mtazamo Mwanzo 16:2 katika mazingira