Mwanzo 18:28 BHN

28 Huenda wakapatikana watu wema arubaini na watano badala ya hamsini. Je, utauangamiza mji mzima kwa sababu wamepungua watu watano?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sitauangamiza mji ikiwa kuna watu wema arubaini na watano.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 18

Mtazamo Mwanzo 18:28 katika mazingira