31 Abrahamu akasema, “Nimethubutu kuzungumza na Bwana. Labda watapatikana watu wema ishirini.” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Kwa ajili ya hao ishirini, sitauangamiza.”
Kusoma sura kamili Mwanzo 18
Mtazamo Mwanzo 18:31 katika mazingira