9 Ndipo Abimeleki akamwita Abrahamu, akamwuliza, “Umetutendea nini? Nimekukosea nini hata ukaniletea balaa hili mimi na ufalme wangu? Umenitendea mambo yasiyostahili kutendwa.”
Kusoma sura kamili Mwanzo 20
Mtazamo Mwanzo 20:9 katika mazingira