Mwanzo 22:1 BHN

1 Baada ya muda fulani, Mungu alimjaribu Abrahamu. Mungu alimwita, “Abrahamu!” Naye akaitika, “Naam nasikiliza.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 22

Mtazamo Mwanzo 22:1 katika mazingira