14 Kwa hiyo, Abrahamu akapaita mahali hapo, “Mwenyezi-Mungu hujalia.” Kama isemwavyo hata leo, “Katika mlima wa Mwenyezi-Mungu, watu hujaliwa.”
Kusoma sura kamili Mwanzo 22
Mtazamo Mwanzo 22:14 katika mazingira