Mwanzo 24:48 BHN

48 Kisha nikainama na kumwabudu Mwenyezi-Mungu; nikamtukuza Mwenyezi-Mungu, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye ameniongoza moja kwa moja kwa binti wa ukoo wa bwana wangu kwa ajili ya mwanawe.

Kusoma sura kamili Mwanzo 24

Mtazamo Mwanzo 24:48 katika mazingira