Mwanzo 26:1 BHN

1 Baadaye palitokea njaa nchini humo, njaa tofauti na ile ya hapo awali wakati wa uhai wa Abrahamu. Isaka akaenda Gerari kwa Abimeleki mfalme wa Wafilisti.

Kusoma sura kamili Mwanzo 26

Mtazamo Mwanzo 26:1 katika mazingira