Mwanzo 26:24 BHN

24 Usiku huohuo Mwenyezi-Mungu alimtokea na kumwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako Abrahamu. Usiogope kwa kuwa niko pamoja nawe; nitakubariki na kuwazidisha wazawa wako kwa ajili ya Abrahamu, mtumishi wangu.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 26

Mtazamo Mwanzo 26:24 katika mazingira