37 Isaka akamjibu, “Nimekwisha mfanya Yakobo kuwa mtawala wako, na kumpa ndugu zake wote kuwa watumishi wake. Nimempatia nafaka na divai. Nikufanyie nini sasa, wewe mwanangu?”
Kusoma sura kamili Mwanzo 27
Mtazamo Mwanzo 27:37 katika mazingira