Mwanzo 31:53 BHN

53 Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, ataamua kati yetu.” Basi, Yakobo akaapa kwa Mungu ambaye alimfanya baba yake Isaka, kutetemeka.

Kusoma sura kamili Mwanzo 31

Mtazamo Mwanzo 31:53 katika mazingira