Mwanzo 34:21 BHN

21 “Watu hawa ni marafiki zetu. Tuwakaribishe waishi nchini mwetu na kufanya biashara, kwa sababu tunayo nchi ya kututosha sisi na wao pia; kisha tutaoa binti zao na kuwaoza binti zetu.

Kusoma sura kamili Mwanzo 34

Mtazamo Mwanzo 34:21 katika mazingira