4 Basi, wakampa Yakobo sanamu zote za miungu ya kigeni walizokuwa nazo pamoja na vipuli walivyokuwa wamevaa masikioni; naye akavifukia chini ya mwaloni uliokuwa karibu na Shekemu.
Kusoma sura kamili Mwanzo 35
Mtazamo Mwanzo 35:4 katika mazingira