Mwanzo 35:3 BHN

3 Kisha, tutakwenda Betheli ili nimjengee mahali pa kumtambikia Mungu aliyenisaidia siku ya taabu, Mungu ambaye amekuwa nami popote nilipokwenda.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 35

Mtazamo Mwanzo 35:3 katika mazingira