8 Ndugu zake wakamwuliza, “Je, unataka kutuambia kwamba utatutawala? Au utakuwa na mamlaka juu yetu?” Basi, wakazidi kumchukia kwa sababu ya ndoto na maneno yake.
Kusoma sura kamili Mwanzo 37
Mtazamo Mwanzo 37:8 katika mazingira