12 Kisha binti Shua, mkewe Yuda, akafariki. Yuda alipomaliza kufanya matanga akaondoka na rafiki yake Hira, Mwadulami, wakaenda Timna kwa wakata-manyoya ya kondoo wake.
Kusoma sura kamili Mwanzo 38
Mtazamo Mwanzo 38:12 katika mazingira