Mwanzo 38:28 BHN

28 Basi, alipopata uchungu wa kuzaa pacha mmojawapo alitoa mkono nje, naye mkunga akaufunga kwa uzi mwekundu, akisema, “Huyu ndiye aliyezaliwa kwanza.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 38

Mtazamo Mwanzo 38:28 katika mazingira