Mwanzo 41:42 BHN

42 Ndipo, Farao akaivua pete yake ya mhuri kidoleni mwake na kumvisha Yosefu, akamvalisha na mavazi ya kitani safi na mkufu wa dhahabu shingoni.

Kusoma sura kamili Mwanzo 41

Mtazamo Mwanzo 41:42 katika mazingira