Mwanzo 47:22 BHN

22 Ardhi ambayo Yosefu hakuinunua ni ile iliyomilikiwa na makuhani. Hao hawakulazimika kuiuza ardhi yao kwani waliishi kwa posho maalumu waliyopewa na Farao.

Kusoma sura kamili Mwanzo 47

Mtazamo Mwanzo 47:22 katika mazingira