Mwanzo 48:11 BHN

11 Kisha Israeli akamwambia Yosefu, “Sikutazamia kuuona uso wako tena; lakini, kumbe, Mungu amenijalia hata kuwaona watoto wako!”

Kusoma sura kamili Mwanzo 48

Mtazamo Mwanzo 48:11 katika mazingira