Mwanzo 48:17 BHN

17 Yosefu alipoona kwamba baba yake ameuweka mkono wake wa kulia juu ya kichwa cha Efraimu hakupendezwa. Basi, akaushika mkono wa baba yake, akitaka kuuondoa juu ya kichwa cha Efraimu auweke juu ya kichwa cha Manase.

Kusoma sura kamili Mwanzo 48

Mtazamo Mwanzo 48:17 katika mazingira