BibleNow
  • Sura 5
      1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28
  • Vitabu
    • Agano la Kale
      • Mwa.
      • Kut.
      • Law.
      • Hes.
      • Kum.
      • Yos.
      • Amu.
      • Rut.
      • 1 Sam.
      • 2 Sam.
      • 1 Fal.
      • 2 Fal.
      • 1 Nya.
      • 2 Nya.
      • Ezr.
      • Neh.
      • Est.
      • Ayu.
      • Zab.
      • Mit.
      • Mhu.
      • Wim.
      • Isa.
      • Yer.
      • Omb.
      • Eze.
      • Dan.
      • Hos.
      • Yoe.
      • Amo.
      • Oba.
      • Yon.
      • Mik.
      • Nah.
      • Hab.
      • Sef.
      • Hag.
      • Zek.
      • Mal.
    • Agano Jipya
      • Mt.
      • Mk.
      • Lk.
      • Yn.
      • Mdo
      • Rum.
      • 1 Kor.
      • 2 Kor.
      • Gal.
      • Efe.
      • Flp.
      • Kol.
      • 1 The.
      • 2 The.
      • 1 Tim.
      • 2 Tim.
      • Tit.
      • Flm.
      • Ebr.
      • Yak.
      • 1 Pet.
      • 2 Pet.
      • 1 Yoh.
      • 2 Yoh.
      • 3 Yoh.
      • Yud.
      • Ufu.
      Orodha Kitabu
  • SUV
    • Biblia Habari Njema (BHN)
    • Swahili Union Version (SUV)
  • SW
    • Afrikaans (AF)
    • Avañe’ẽ (GN)
    • Bahasa Indonesia (ID)
    • Bahasa Melayu (MS)
    • Basa Jawa (JV)
    • Bokmål (NB)
    • Català (CA)
    • ChiCheŵa (NY)
    • ChiShona (SN)
    • Cymraeg (CY)
    • Dansk (DA)
    • Deutsch (DE)
    • Eesti (ET)
    • English (EN)
    • Español (ES)
    • Euskara (EU)
    • Français (FR)
    • Gaeilge (GA)
    • Gagana fa’a Sāmoa (SM)
    • Hausa (HA)
    • Hrvatski (HR)
    • Igbo (IG)
    • IsiXhosa (XH)
    • IsiZulu (ZU)
    • Italiano (IT)
    • Kiswahili (SW)
    • Latine (LA)
    • Latviešu (LV)
    • Lietuvių (LT)
    • Magyar (HU)
    • Malagasy (MG)
    • Nederlands (NL)
    • Nynorsk (NN)
    • Polski (PL)
    • Português (PT)
    • Română (RO)
    • Sesotho (ST)
    • Shqip (SQ)
    • Slovenčina (SK)
    • Slovenščina (SL)
    • Soomaali (SO)
    • Suomi (FI)
    • Svenska (SV)
    • Tagalog (TL)
    • Cebuano (CEB)
    • Tiếng Việt (VI)
    • Türkçe (TR)
    • Èdè Yorùbá (YO)
    • čeština (CS)
    • Ελληνικά (EL)
    • Српски (SR)
    • български (BG)
    • македонски (MK)
    • монгол (MN)
    • русский (RU)
    • українська (UK)
    • Հայերէն (HY)
    • עברית (HE)
    • اردو (UR)
    • العربية (AR)
    • سنڌي (SD)
    • فارسی (FA)
    • हिन्दी (HI)
    • বাংলা (BN)
    • தமிழ் (TA)
    • ไทย (TH)
    • မြန်မာဘာသာ (MY)
    • አማርኛ (AM)
    • ភាសាខ្មែរ (KM)
    • 日本語 (JA)
    • 简体中文 (ZH)
    • 繁體中文 (ZH-HANT)
    • 한국어 (KO)
  1. Swahili Union Version
  2. Agano Jipya
  3. Mdo
  4. Mdo 5
  5. Mdo 5:2-8

Mdo 5:2-8 SUV

2 akazuia kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya, akaleta fungu moja akaliweka miguuni pa mitume.

3 Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja?

4 Kilipokuwa kwako, hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako? Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu, bali Mungu.

5 Anania aliposikia maneno haya akaanguka, akafa. Hofu nyingi ikawapata watu wote walioyasikia haya.

6 Vijana wakaondoka, wakamtia katika sanda, wakamchukua nje, wakamzika.

7 Hata muda wa saa tatu baadaye mkewe akaingia, naye hana habari ya hayo yaliyotokea.

8 Petro akamjibu, Niambie, Mlikiuza kiwanja kwa thamani hiyo? Akasema, Ndiyo, kwa thamani hiyo.

Kusoma sura kamili Mdo 5
Kushiriki
  • Mdo 5:1
  • Mdo 5:3