Isa. 28:21 SUV

21 Maana BWANA ataondoka kama vile katika mlima Perasimu, ataghadhibika kama vile katika bonde la Gibeoni; apate kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu; na kulitimiza tendo lake, tendo lake la ajabu.

Kusoma sura kamili Isa. 28

Mtazamo Isa. 28:21 katika mazingira