Isa. 29:14 SUV

14 kwa sababu hiyo mimi nitafanya tena kazi ya ajabu kati ya watu hawa, kazi ya ajabu na mwujiza; na akili za watu wao wenye akili zitapotea, na ufahamu wa wenye busara wao utafichwa.

Kusoma sura kamili Isa. 29

Mtazamo Isa. 29:14 katika mazingira