13 Badala ya michongoma utamea msunobari,Na badala ya mibigili, mhadesi;Jambo hili litakuwa la kumpatia BWANA jina,Litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.
Kusoma sura kamili Isa. 55
Mtazamo Isa. 55:13 katika mazingira