Ezekieli 13:10 BHN

10 Manabii hao wanawapotosha watu wangu na kuwaambia ‘Kuna amani’, wakati hakuna amani. Watu wangu wanajenga ukuta usiofaa, nao wanaupaka chokaa!

Kusoma sura kamili Ezekieli 13

Mtazamo Ezekieli 13:10 katika mazingira