Ezekieli 15:6 BHN

6 Basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kama vile nilivyoutoa mti wa mzabibu kati ya miti ya msituni, ukateketezwa motoni, ndivyo nilivyotoa wakazi wa Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 15

Mtazamo Ezekieli 15:6 katika mazingira