Ezekieli 17:16 BHN

16 “Mimi Mwenyezi-Mungu naapa kwamba, kama niishivyo, mfalme huyu atafia katika nchi ya Babuloni, nchi ya mfalme yule aliyemweka awe mfalme, na ambaye amedharau kile kiapo na kuvunja lile agano alilofanya naye.

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:16 katika mazingira