Ezekieli 17:15 BHN

15 Lakini yule mfalme mpya alimwasi mfalme wa Babuloni kwa kuwatuma wajumbe Misri kuomba farasi na askari wengi. Je, mfalme huyo atafaulu? Je, anayefanya hivyo na kuvunja agano lake ataweza kuepa adhabu?

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:15 katika mazingira