Ezekieli 17:22 BHN

22 Bwana Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Mimi mwenyewe nitachukua kisehemu cha ncha ya juu ya mwerezi, naam, nitavunja tawi changa kutoka matawi yake ya juu na kulipanda juu ya mlima mrefu sana.

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:22 katika mazingira