Ezekieli 17:21 BHN

21 Majeshi yake hodari yatauawa kwa upanga na watakaosalia hai watatawanyika pande zote. Hapo mtatambua kuwa mimi, naam, mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:21 katika mazingira