Ezekieli 17:20 BHN

20 Nitatandaza wavu wangu juu yake, naye atanaswa katika mtego wangu; nitampeleka mpaka Babuloni na kumhukumu kwa sababu ya uhaini alioufanya dhidi yangu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:20 katika mazingira