Ezekieli 17:24 BHN

24 Ndipo miti yote nchini itajua kuwa mimi Mwenyezi-Mungu huiporomosha miti mirefu na kuikuza miti mifupi. Mimi hukausha miti mibichi na kustawisha miti mikavu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema hayo na nitayafanya.”

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:24 katika mazingira