Ezekieli 17:6 BHN

6 Mmea ukakua ukawa mzabibuwa aina ya mti utambaao;matawi yake yakamwelekea,na mizizi yake ikatanda chini yake.Mzabibu ukachipua matawi na majani mengi.

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:6 katika mazingira