Ezekieli 17:9 BHN

9 Sasa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nakuuliza:Je, mzabibu huo utaweza kustawi?Je, hawatangoa mizizi yakena kuozesha matunda yakena matawi yake machanga kuyanyausha?Hakutahitajika mtu mwenye nguvu au jeshikuungoa kutoka humo ardhini.

Kusoma sura kamili Ezekieli 17

Mtazamo Ezekieli 17:9 katika mazingira