Ezekieli 20:22 BHN

22 Lakini nilizuia mkono wangu kwa sababu ya heshima ya jina langu ili nisidharauliwe kati ya watu wa mataifa walioona nikiwatoa nchini Misri.

Kusoma sura kamili Ezekieli 20

Mtazamo Ezekieli 20:22 katika mazingira