Ezekieli 20:41 BHN

41 Baada ya kuwatoa katika nchi ambako mmetawanywa na kuwakusanya pamoja, nitazipokea tambiko zenu za harufu nzuri. Nami nitadhihirisha utakatifu wangu kati yenu mbele ya mataifa mengine.

Kusoma sura kamili Ezekieli 20

Mtazamo Ezekieli 20:41 katika mazingira