Ezekieli 26:20 BHN

20 Nitakuteremsha shimoni ili ujiunge na walioko huko, walioishi duniani zamani; nitakufanya ukae huko katika mahame milele. Hutakaliwa na watu milele na hutakuwa na nafasi miongoni mwa nchi za walio hai.

Kusoma sura kamili Ezekieli 26

Mtazamo Ezekieli 26:20 katika mazingira