Ezekieli 36:13 BHN

13 “Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kwa vile watu wamesema juu yenu kwamba mnakula watu, na mmelipokonya taifa lenu watoto wake,

Kusoma sura kamili Ezekieli 36

Mtazamo Ezekieli 36:13 katika mazingira