Ezekieli 40:47 BHN

47 Yule mtu akaupima ua wa ndani, nao ulikuwa mraba: Pande zote zilikuwa na upana wa mita 50. Madhabahu yalikuwa mbele ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 40

Mtazamo Ezekieli 40:47 katika mazingira