Ezekieli 44:25 BHN

25 Hawatakaribia maiti ili wasijitie unajisi. Lakini wataweza kujitia unajisi kwa kumkaribia baba au mama au mtoto wa kike au wa kiume au dada yao asiyeolewa, aliyekufa.

Kusoma sura kamili Ezekieli 44

Mtazamo Ezekieli 44:25 katika mazingira