Ezekieli 45:9 BHN

9 “Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nyinyi watawala wa Israeli, mmefanya dhambi vyakutosha. Acheni ukatili na dhuluma. Tendeni mambo ya haki na sawa. Acheni kuwafukuza watu wangu nchini; mimi Bwana Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Ezekieli 45

Mtazamo Ezekieli 45:9 katika mazingira